Tuesday, June 13, 2017

Taifa stars yajiandaa na COSAFA, kupiga kambi Afrika mashariki

Timu ya mpira wa miguu Taifa Stars yatarajiwa kuingia kambini  hapo tarehe  14June kujiandaa na michuano
 inayosimamiwa na Baraza la soka la Kusini mwa Africa liitwalo(COSAFA)

Timu ya TaifaStars.

Michiano hiyo inatarajiwa kuanza June25 mwaka huu,huku Taifa stars  ikitarajiwa kufika Afrika Kusini June20 pamoja na kocha wao Salum Mayanga akiwa na dhumuni la kufanya mabadiliko  ya kufanya uteuzi  mwingine  kwa baadhi ya wachezaji  na kutangaza majina ya wachezaji hao kesho ili wachezaji hao waweze kujiandaa ,na kuingia kambini  ili wawe teyali

    Choose :
  • OR
  • To comment
No comments:
Write comments