Klabu ya soka ya Manchester United imeendeleza ushindi katika mechi zake za kirafiki huko nchini Marekani
United ambao walikuwa wakicheza na majirani zao Manchester City
asubuhi hii katika mechi ya kirafiki ya kombe la International Champions
Cup 2017 mjini Houston, imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Magoli hayo ya Man United yaliyofungwa na Romelu Lukaku dakika ya 37 na Marcus Rashford dakika ya 39.
Friday, July 21, 2017
Man United waichakaza Man City bila huruma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Write comments