Msanii wa muziki Naseeb Abdul al-maarufu Diamond Platnumz ameamua kufunguka kwa kusema ukweli juu ya mchango wa aliyekuwa mpenzi wake Wema Sepetu kuhusiana na perfume yake ya "Chibu Perfume"
“Mimi na Wema labda watu hawajui sisi tunaongea sana wakati mwingine tunakutana tu sana lakini sio kwenye media. Tushakuwa kila mtu ana mahusiano yake tofauti yeye ana familia yake hata ukiangalia katika Perfume yangu lile neno THE SCENT YOU DESERVE alilitoa Wema” alisema Diamond.
Muimbaji huyo kwasasa yupo kwenye mahusiano ya Zari na tayari wamefanikiwa kupata watoto wawili.
No comments:
Write comments