Aliyekuwa mfalme wa taarab Alhaj Mzee Yussuf ambaye jana jioni
alimpoteza mke wake wa pili (Chiku) na kichanga wakati mkewe huyo
alipokuwa amepelekwa kujifungua katika Hospitali ya Amana, Ilala jijini
Dar es Salaam


Mzee Yussuf akiongea na mtangazaji Mwanne Othman kwenye kipindi cha Tam Tam za Mwambao, amesema kuwa miili ya vipenzi vyake hivyo itazikwa leo majira ya saa saba mchana Kisutu jijini Dar es Salaam na kusema msiba upo Kariakoo Mtaa wa Livingstone.
Mzee ameelezea kisa kizima jinsi ilivyokuwa mpaka mkewe na mtoto kupoteza maisha wakiwa hospitali, msikilize hapa
No comments:
Write comments