Monday, June 26, 2017

Manowari ya Uingereza kuanza kufanyiwa majaribio leo

Manowari mpya ya Uingereza inatarajwa kuanza majaribio ya baharini leo.
HMS Queen Elizabeth ndiyo meli kubwa zaidi kuwai kuundwa kwa jeshi la wanamaji la Uingereza iliwa na uwanja wa ndege wenye ukubwa wa viwanja vitatu vya soka.
Meli hiyo ni kubwa hadi itahitaji kusubiri kushuka kwa viwango vya maji kuweza kupititia eneo la Forth bridges.


Manowari mpya ya Uingereza inatarajwa kuanza majaribio ya baharini leo.
HMS Queen Elizabeth ndiyo meli kubwa zaidi kuwai kuundwa kwa jeshi la wanamaji la Uingereza iliwa na uwanja wa ndege wenye ukubwa wa viwanja vitatu vya soka.
Meli hiyo ni kubwa hadi itahitaji kusubiri kushuka kwa viwango vya maji kuweza kupititia eneo la Forth bridges.

    Choose :
  • OR
  • To comment
No comments:
Write comments