Manowari mpya ya Uingereza inatarajwa kuanza majaribio ya baharini leo.
HMS
Queen Elizabeth ndiyo meli kubwa zaidi kuwai kuundwa kwa jeshi la
wanamaji la Uingereza iliwa na uwanja wa ndege wenye ukubwa wa viwanja
vitatu vya soka.Meli hiyo ni kubwa hadi itahitaji kusubiri kushuka kwa viwango vya maji kuweza kupititia eneo la Forth bridges.
Manowari mpya ya Uingereza inatarajwa kuanza majaribio ya baharini leo.
HMS
Queen Elizabeth ndiyo meli kubwa zaidi kuwai kuundwa kwa jeshi la
wanamaji la Uingereza iliwa na uwanja wa ndege wenye ukubwa wa viwanja
vitatu vya soka.Meli hiyo ni kubwa hadi itahitaji kusubiri kushuka kwa viwango vya maji kuweza kupititia eneo la Forth bridges.
No comments:
Write comments