Barozi wa china hapa nchini mhe.Dkt. lu younqing ampongeza raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. John Pombe magufuli na serikali yake kwa bajet yake nzuri iliyowasilishwa jana tarehe 8,june
mwaka huu hapo bungeni jijini dodoma na waziri wa fedha na mipango Dk. Phillip Mpango
Mhe. Dkt .Lu youqing ametoa pongezi hizo leo tarehe 9,june mwaka huu ikulu jijini dar es salaam muda mfupi tu baadi ya kufanya mazungumzo na Mhe. Raisi magufuli ambapo amesema kuwa bajeti iliyowasilishwa inamalengo ya kuongeza kasi ya maendeleo katika ujenzi wa miundombinu na ujenzi wa
viwanda.
Akiongeza kua kutokana na bajeti hiyo uchumi wa tanzania umeendelea kua imara na hivo umeweza kuwavutia wadau wengi wa maendeleo wakiwemo Benk ya Dunia (WB) na shirika la Fedha Duniani
(IMF) ambao wamekua wakishirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo yenye umuhimu mkubwa.
No comments:
Write comments